

Description
Kitoweo cha mama na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi kadhaa za kusisimua na za kipekee. Hadithi hizi zinaangazia hali halisi za maisha ya wanadamu kupitia wahusika wanayama. Zimejikita kwenye maudhui kama vile kusema ukweli, utiifu,kuwajali wengine, usaliti, subira na uvumilivu. Kutokana na hadithi hizi, wasomaji walengwa watachochewa kuwa na fikra za kipekuzi na za kibunifu ili waweze kudadisi mambo na kutafuta suluhu za changamoto mbalimbali zinazoweza kuwakumba maishani.
Book details
- Format
- Paperback
- ISBN
- 9789966623867
- SKU
- 9789966623867
- Delivery type
- physical
- Publisher
- Storymoja Publishers
- Language
- swh
Shipping & returns
Delivery methods, digital access, taxes, and return eligibility are confirmed during checkout for the selected edition and destination.
Book information
Kitoweo cha Mama na Hadithi Nyingine
- Author:
- Seth Mboya
- Language:
- swh
- Collection:
- Back to School Starter Pack
Paperback
This edition is currently out of stock.






