

Description
Mara tu Nairese alipotia mguu wake ndani ya kantini, wanaume wawili kutoka msitu wa karibu walimvamia kwa ghafla. Walimfunga macho na mdomo kwa vitambaa na kumburuta hadi katikati ya msitu mkubwa wa Kaithe, msitu ambao hakuna aliyethubutu kuuingia isipokuwa majasiri na wale majambazi. Nairese alijitahidi kujinasua, lakini wanaume wale walimshinda nguvu. Alikuwa kama nzi kwenye pembe ya ndovu. Watu walipogundua kuwa Nairese hayupo, majangili walikuwa tayari wametoweka ndani ya kina cha msitu. Nairese aatafanya nini ili kuepuke mtego wa ndoa ya mapema? Je, atafanikiwa katika dhamira yake ya kuwa nyota wa jamii yake?
Book details
- Format
- Paperback
- ISBN
- 9789914469295
- SKU
- 9789914469295
- Delivery type
- physical
- Publisher
- Storymoja Publishers
- Language
- swh
Shipping & returns
Delivery methods, digital access, taxes, and return eligibility are confirmed during checkout for the selected edition and destination.
Book information
Nasibu
- Author:
- Ndereba Andy Muthamia
- Language:
- swh
- Collection:
- Popular Children's Books
Paperback
This edition is currently out of stock.






