Skip to main content
Cover of Nasibu
Description

Mara tu Nairese alipotia mguu wake ndani ya kantini, wanaume wawili kutoka msitu wa karibu walimvamia kwa ghafla. Walimfunga macho na mdomo kwa vitambaa na kumburuta hadi katikati ya msitu mkubwa wa Kaithe, msitu ambao hakuna aliyethubutu kuuingia isipokuwa majasiri na wale majambazi. Nairese alijitahidi kujinasua, lakini wanaume wale walimshinda nguvu. Alikuwa kama nzi kwenye pembe ya ndovu. Watu walipogundua kuwa Nairese hayupo, majangili walikuwa tayari wametoweka ndani ya kina cha msitu. Nairese aatafanya nini ili kuepuke mtego wa ndoa ya mapema? Je, atafanikiwa katika dhamira yake ya kuwa nyota wa jamii yake?

Book details
Format
Paperback
ISBN
9789914469295
SKU
9789914469295
Delivery type
physical
Publisher
Storymoja Publishers
Language
swh
Shipping & returns

Delivery methods, digital access, taxes, and return eligibility are confirmed during checkout for the selected edition and destination.

Book information

Nasibu

Author:
Ndereba Andy Muthamia
Language:
swh
Collection:
Popular Children's Books

Paperback

KESĀ 580.00
1

This edition is currently out of stock.

Nasibu
KESĀ 580.00
Currently unavailableNo edition is available to buy right now.
ReturnsEligibility confirmed at checkout.
Nasibu | eKitabu