Skip to main content
Cover of Nguli wa Kaya na Hadithi Nyingine
Description

Katika mkusanyiko huu wa hadithi, mafumbo tata yanafumbuliwa. Katika hadithi ya Nguli wa Kaya siri za kale za uhusiano wa msitu na jamii zinabainika, wakati huo katika Aste Aste tishio la hujuma za kijidijitali zinafichuliwa, ilhali katika Farasi asiye na Farisi ushindani wa viongozi kuleta matumaini na faraja unamulikwa. Hadithi hizi zinaakisi mada za masuala mtaambuko na maadili zinazompa msomaji na mwanafunzi hamu ya kujiburudisha, kasi ya kusoma, ari ya kuvinjari na uwezo wa kuwa na umilisi. Kupitia msururu huu wa hadithi, msamiati huongezeka, mawazo hupanuka na uzoefu wa mambo unaimarika.

Book details
Format
Paperback
ISBN
9789914467420
SKU
9789914467420
Delivery type
physical
Publisher
Storymoja Publishers
Language
swh
Shipping & returns

Delivery methods, digital access, taxes, and return eligibility are confirmed during checkout for the selected edition and destination.

Book information

Nguli wa Kaya na Hadithi Nyingine

Author:
Muhiddin Ngashe, Marcella Karimi, Reuben Wanyama
Language:
swh
Collection:
Popular Children's Books

Paperback

KESĀ 500.00
1

This edition is currently out of stock.

Nguli wa Kaya na Hadithi Nyingine
KESĀ 500.00
Currently unavailableNo edition is available to buy right now.
ReturnsEligibility confirmed at checkout.
Nguli wa Kaya na Hadithi Nyingine | eKitabu