

Description
Katika mkusanyo huu wa hadithi, utakumbana na matukio usioyatarajia. Katika hadithi ya Simulizi za Utotoni na Usipoziba Ufa... ujirani mwema unatuachia athari katika maisha yetu, wakati huo huo katika Mawimbi ya Mabadiliko changamoto ya kufanya kazi katika mazingira yenye siutafahamu inaangaziwa, ilhalia katika Mtazamo Mpana unahimizwa katikati ya migogoro, na bila shaka katika Shahidi wa Siri ufichuzi wa uhalifu unamwandama msaliti. Hadithi hizi zinaakisi mada ya masuala mtambuko na maadili zinazompa msomaji na mwanafunzi hamu ya kujiburudisha, kasi ya kusoma, ari ya kujivinjari na uwezo wa kuwa na umilisi. Kupitia msururu huu wa hadithi, msamiati huongezeka, msamiati hupanuka na uzoefu wa mambo unaimarika.
Book details
- Format
- Paperback
- ISBN
- 9789914467413
- SKU
- 9789914467413
- Delivery type
- physical
- Publisher
- Storymoja Publishers
- Language
- swh
Shipping & returns
Delivery methods, digital access, taxes, and return eligibility are confirmed during checkout for the selected edition and destination.
Book information
Simulizi na Hadithi Nyingine
- Author:
- Mischek Njiru, Rumona Apiyo, Reuben Wanyama
- Language:
- swh
- Collection:
- Popular Children's Books
Paperback
This edition is currently out of stock.






